Mwanzo 35:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Debora, mlezi wa Rebeka, alifariki, akazikwa chini ya mwaloni upande wa kusini wa Betheli. Kwa hiyo Yakobo akauita mji huo Alon-bakuthi.

Mwanzo 35

Mwanzo 35:6-11