Mwanzo 35:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Yakobo na jamaa yake yote waliendelea na safari yao kutoka Betheli. Walipokuwa umbali fulani kabla ya kufika Efratha, Raheli akashikwa na uchungu mkali wa kuzaa.

Mwanzo 35

Mwanzo 35:11-19