Mwanzo 34:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Watu hawa ni marafiki zetu. Tuwakaribishe waishi nchini mwetu na kufanya biashara, kwa sababu tunayo nchi ya kututosha sisi na wao pia; kisha tutaoa binti zao na kuwaoza binti zetu.

Mwanzo 34

Mwanzo 34:15-25