Mwanzo 32:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Akatoa agizo hilohilo kwa mtumishi wa kundi la pili na la tatu na wengine wote, akisema, “Mtamwambia Esau maneno hayohayo mtakapokutana naye.

Mwanzo 32

Mwanzo 32:10-25