Mwanzo 31:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akaniambia, ‘Tazama mabeberu wote wanaowapanda majike wana milia, madoadoa na mabaka mabaka. Jambo hili limekuwa hivyo kwa sababu nimeona alivyokutendea Labani.

Mwanzo 31

Mwanzo 31:11-17