Mwanzo 30:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Akazisimamisha fito hizo alizozibambua mbele ya wanyama katika mabirika ya kunyweshea maji, mahali ambapo wanyama walikuja kunywa maji. Na kwa kuwa wanyama walichukua mimba walipokuja kunywa maji,

Mwanzo 30

Mwanzo 30:37-43