Mwanzo 30:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Akasema, “Mungu amenipa zawadi bora. Sasa mume wangu ataniheshimu kwa maana nimemzalia watoto sita wa kiume.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Zebuluni.

Mwanzo 30

Mwanzo 30:14-24