Mwanzo 29:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Yakobo akawaambia, “Naona bado ni mchana, na si wakati wa kuwakusanya kondoo pamoja. Basi, wanywesheni kondoo maji, mwende mkawachunge.”

Mwanzo 29

Mwanzo 29:1-12