Mwanzo 27:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Esau akamchukia Yakobo kwa sababu ya baraka aliyokuwa amepewa na baba yake. Esau akawaza, “Siku za matanga ya baba zitakapokwisha, ndipo nitakapomuua ndugu yangu Yakobo.”

Mwanzo 27

Mwanzo 27:31-42