Mwanzo 27:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Isaka alikuwa amezeeka na macho yake yalikuwa hayaoni. Basi, alimwita Esau mwanawe mkubwa, akamwambia, “Mwanangu!” Naye akaitika “Naam baba, nasikiliza!”

2. Isaka akasema, “Tazama, mimi ni mzee, wala siku ya kufa kwangu siijui.

Mwanzo 27