Mwanzo 26:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Abimeleki akamwuliza, “Ni jambo gani hili ulilotutendea? Mmoja wa watu wangu angaliweza kulala na mkeo bila wasiwasi, nawe ungekuwa umetutia hatiani.”

Mwanzo 26

Mwanzo 26:9-20