Mwanzo 25:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Isaka na Ishmaeli, wanawe Abrahamu, wakamzika baba yao katika pango la Makpela, mashariki ya Mamre kwenye shamba lililokuwa la Efroni, mwana wa Sohari, Mhiti.

Mwanzo 25

Mwanzo 25:6-14