Mwanzo 25:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Wazawa wa Ishmaeli walikaa katika eneo lililo kati ya Hawila na Shuri, mashariki ya Misri, kuelekea Ashuru. Walikaa kwa utengano na wazawa wengine wa Abrahamu.

Mwanzo 25

Mwanzo 25:15-26