Mwanzo 24:65 Biblia Habari Njema (BHN)

na kumwuliza mtumishi wa Abrahamu, “Ni nani yule mtu anayetembea kule shambani, anakuja kutulaki?” Yule mtumishi akasema, “Ni bwana wangu.” Basi, Rebeka akatwaa shela yake, akajifunika uso.

Mwanzo 24

Mwanzo 24:58-67