Mwanzo 24:54 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtumishi wa Abrahamu na watu aliokuja nao wakala, wakanywa na kulala huko. Walipoamka asubuhi, mtumishi yule akasema, “Naomba kurudi kwa bwana wangu.”

Mwanzo 24

Mwanzo 24:50-56