Mwanzo 24:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mtumishi huyo wa Abrahamu akaingia nyumbani. Labani akawafungua ngamia na kuwapatia majani ngamia wake, akampa yeye na watu wake maji ya kunawa miguu.

Mwanzo 24

Mwanzo 24:27-35