Mwanzo 23:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, Abrahamu akamzika Sara mkewe katika pango hilo lililokuwamo katika shamba la Makpela, mashariki ya Mamre (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani.

Mwanzo 23

Mwanzo 23:12-20