Mwanzo 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

akamwambia Efroni, wananchi wote wakisikia, “Nakuomba, tafadhali unisikilize. Nitakulipa bei kamili ya shamba lako, na ninakuomba upokee malipo haya, ili nipate kumzika humo marehemu mke wangu.”

Mwanzo 23

Mwanzo 23:4-18