Mwanzo 22:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Abrahamu akamjibu, “Mwanangu, Mungu mwenyewe atatujalia mwanakondoo wa sadaka ya kuteketezwa.” Basi, wakaendelea na safari yao.

Mwanzo 22

Mwanzo 22:1-14