Mwanzo 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Abimeleki akaamka asubuhi na mapema, akawaita watumishi wake wote na kuwaeleza mambo aliyoyaona katika ndoto; nao wakaogopa sana.

Mwanzo 20

Mwanzo 20:1-12