Mwanzo 2:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mwenyezi-Mungu akamletea huyo mwanamume usingizi mzito, na alipokuwa usingizini, akatwaa ubavu wake mmoja na kupafunika mahali pale kwa nyama.

Mwanzo 2

Mwanzo 2:12-24