Mwanzo 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Tazama, ninao binti wawili ambao bado hawajalala na mwanamume. Mniruhusu niwapeni hao wasichana muwatendee kama mpendavyo. Lakini msiwatende lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.”

Mwanzo 19

Mwanzo 19:2-15