Mwanzo 19:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Usiku huo wakamlevya baba yao kwa divai, na yule binti wa kwanza akaenda akalala naye. Lakini baba yake hakujua wakati bintiye alipolala naye, wala alipoondoka.

Mwanzo 19

Mwanzo 19:27-38