Mwanzo 19:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji.

Mwanzo 19

Mwanzo 19:8-21