Mwanzo 18:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akatoka haraka akaenda kwenye kundi la ng'ombe, akachagua ndama mmoja mzuri na mnono, akamkabidhi mtumishi ambaye aliharakisha kumchinja na kumpika.

Mwanzo 18

Mwanzo 18:1-12