Mwanzo 18:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Mwenyezi-Mungu akamwuliza Abrahamu, “Kwa nini Sara amecheka na kujiuliza kama kweli itawezekana apate mtoto akiwa mzee?

Mwanzo 18

Mwanzo 18:10-20