Mwanzo 16:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Malaika akamwuliza, “Hagari, mjakazi wa Sarai! Unatoka wapi na unakwenda wapi?” Hagari akamjibu, “Namkimbia bimkubwa wangu Sarai.”

Mwanzo 16

Mwanzo 16:3-14