Mwanzo 15:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu akafanya agano na Abramu akisema, “Wazawa wako ninawapa nchi hii, toka mto wa Misri hadi ule mto mkubwa wa Eufrate,

Mwanzo 15

Mwanzo 15:9-21