Mwanzo 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kukazuka ugomvi kati ya wachungaji wa Abramu na wachungaji wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.

Mwanzo 13

Mwanzo 13:1-9