Mwanzo 13:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, Abramu akangoa hema, akaenda kukaa karibu na mialoni ya Mamre kule Hebroni; huko akamjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu.

Mwanzo 13

Mwanzo 13:11-18