Mwanzo 10:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Eberi alikuwa na watoto wa kiume wawili; wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati huo watu duniani waligawanyika, na wa pili akamwita Yoktani.

Mwanzo 10

Mwanzo 10:15-32