Mika 3:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Sikieni jambo hili enyi viongozi wa wazawa wa Yakobo,sikilizeni, enyi watawala wa Waisraeli:Nyinyi mnachukia mambo ya hakina kupotosha mambo ya adili.

Mika 3

Mika 3:6-11