Mhubiri 7:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku za fanaka uwe na furaha; katika siku za maafa utafakari jambo hili: Fanaka, pia maafa, Mungu amefanya hiyo ya kwanza iambatane na ya pili ili binadamu asiweze kujua yatakayotukia baada yake.

Mhubiri 7

Mhubiri 7:9-16