Mhubiri 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Nani ajuaye yamfaayo mtu katika maisha haya mafupi yasiyo na faida, maisha ambayo hupita kama kivuli? Nani duniani ajuaye yatakayompata mtu baada ya kufa?

Mhubiri 6

Mhubiri 6:4-12