Mhubiri 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila kitu kinachotukia kilikwisha pangwa hapo awali; hali ya binadamu inajulikana, na tunajua kwamba mnyonge hawezi kubishana na mtu mwenye nguvu zaidi.

Mhubiri 6

Mhubiri 6:2-12