Mhubiri 5:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Fikiri kabla ya kusema, wala usiwe mwepesi kusema chochote mbele ya Mungu, kwa maana Mungu yuko mbinguni na wewe uko duniani. Kwa hiyo usiseme mengi.

Mhubiri 5

Mhubiri 5:1-10