Mhubiri 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana hakuna amkumbukaye mwenye hekima, wala amkumbukaye mpumbavu, kwani siku zijazo wote watasahaulika. Jinsi mwenye hekima afavyo ndivyo afavyo mpumbavu!

Mhubiri 2

Mhubiri 2:12-19