Mhubiri 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenye hekima anayo macho, huona aendako, lakini mpumbavu hutembea gizani. Hata hivyo, nikatambua kwamba mwenye hekima na mpumbavu mwisho wao ni uleule.

Mhubiri 2

Mhubiri 2:13-23