Mhubiri 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikaanza kufikiria maana ya kuwa na hekima, kuwa mwendawazimu, na kuwa mpumbavu. Nilijiuliza, “Mtawala mpya anaweza kufanya kitu gani?”

Mhubiri 2

Mhubiri 2:3-19