Mhubiri 12:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, zaidi ya kuwa na hekima yake, Mhubiri aliwafundisha watu ujuzi. Alizipima, akazichunguza na kuzirekebisha methali kwa ustadi mwingi.

Mhubiri 12

Mhubiri 12:1-13