Mhubiri 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo utaogopa kupanda mahali pa juuna kutembea barabarani ni kitisho;wakati miti ya mlozi inachanua na panzi wanashiba,lakini wewe hutakuwa na hamu tena.Wakati huo binadamu anapaswa kwenda katika makao yake ya milele,nao waombolezaji watapitapita barabarani.

Mhubiri 12

Mhubiri 12:1-9