Mhubiri 1:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikatafakari nikisema, “Nimejipatia hekima nyingi zaidi kupita wote waliopata kutawala Yerusalemu kabla yangu. Naam, nina uzoefu wa hekima na maarifa.”

Mhubiri 1

Mhubiri 1:9-18