Mhubiri 1:10-13 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Watu husema, “Tazama jambo jipya,”kumbe lilikwisha kuwako zama za kale.

11. Hakuna mtu anayekumbuka ya zamaniwala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

12. Mimi Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli, huko Yerusalemu.

13. Nilipania kuchunguza na kutafuta kwa hekima kila kitu kinachotukia duniani. Hiyo ni taabu kubwa ambayo Mungu amewapa wanadamu.

Mhubiri 1