Methali 6:31-35 Biblia Habari Njema (BHN)

31. lakini akipatikana lazima alipe mara saba;tena atatoa mali yote aliyo nayo.

32. Mwanamume anayezini na mke wa mtu hana akili kabisa;huyo hujiangamiza yeye mwenyewe.

33. Atapata majeraha na madharau;fedheha atakayopata haitamtoka.

34. Maana wivu wa mume humfanya kuwa mkali kabisa;wakati atakapolipiza kisasi hana cha kuhurumia.

35. Hatakubali fidia yoyote;wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.

Methali 6