Methali 6:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Mtu mwovu, mtu asiyefaa kitu,huzururazurura akisema maneno mapotovu.

13. Hukonyeza jicho kuwakosesha wengine,huparuza kwa nyayo,na kuashiria watu kwa vidole.

14. Akiwa amejaa ulaghai moyoni hutunga maovu,huzusha ugomvi kila mahali.

Methali 6