1. Mwanangu, sikia hekima yangu,tega sikio usikilize elimu yangu.
2. Ndipo utakapoweza kuhifadhi busara,na midomo yako izingatie maarifa.
3. Mdomo wa mwanamke mpotovu ni mtamu kama asali,maneno yake ni laini kuliko mafuta;
4. lakini hatimaye ni mchungu kama pakanga,ni mkali kama upanga wenye makali kuwili.