Methali 4:13-15 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Zingatia mafundisho ya Hekima na usimwache aponyoke,mshike kwa makini maana yeye ni uhai wako.

14. Usijiingize katika njia ya waovu,wala usifuate mwenendo wa watu wabaya.

15. Iepe njia hiyo wala usiikaribie;jiepushe nayo, uende zako.

Methali 4