28. Watoto wake huamka na kumshukuru,mumewe huimba sifa zake.
29. Husema, “Wanawake wengi wametenda mambo ya ajabu,lakini wewe umewashinda wote.”
30. Madaha huhadaa na uzuri haufai,bali mwanamke amchaye Mwenyezi-Mungu atasifiwa.
31. Jasho lake lastahili kulipwa,shughuli zake hazina budi kuheshimiwa popote.