Methali 31:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Huufungua mkono wake kuwapa maskini,hunyosha mkono kuwasaidia fukara.

21. Hawahofii watu wake ijapo baridi ya kipupwe,maana kila mmoja anazo nguo za kutosha.

22. Hujitengenezea matandiko,mavazi yake ni ya zambarau ya kitani safi.

Methali 31