Methali 3:33-35 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Mwenyezi-Mungu huapiza nyumba za waovu,lakini huyabariki makao ya waadilifu.

34. Yeye huwadharau wenye dharau,lakini huwafadhili wanyenyekevu.

35. Wenye hekima watavuna heshima,lakini wapumbavu watapata fedheha.

Methali 3